Wakati wa mavuno nitawaambia wafanyakazi hivi: Kwanza, yakusanyeni magugu na kuyafunga pamoja ili myachome. Kisha kusanyeni ngano na kuileta ghalani mwangu.’” Simulizi Nyingine ya Ufalme (Mk 4:30-34; Lk 13:18-21) 31 Kisha Yesu akawaambia watu simulizi nyingine: “Ufalme wa...